HESLB hereby calls upon loan applicants for academic year 2015/2016
whose applications have been found to have some faults to physically
come to HESLB offices on Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road,
Mwenge - Dar es Salaam for corrections of their loan applications.
Names of concerned applicants can be accessed by clinking the following link
http://www.heslb.go.tz/images/images/INCOMPLETE_FORMS.pdf
The deadline for corrections of the shortcomings is 11th September 2015.
NB:
The Board is cautioning loan applicants to be careful with some
unscrupulous individuals who might take advantage of this opportunity to
make financial demands.
For more information visit their page http://www.heslb.go.tz
Saturday, August 29, 2015
Thursday, August 27, 2015
mashairi ya harmonize aiyola soma hapa (aiyola lyrics by harmonize)
Harmonize - Aiyola
wasafi
aiyo aiyola ieeh
aiyo aiyola aah
mmh
nilifundishwa na bibi kijijini jinsi ya kupenda
na mwanamke hapigwi
na ngumi ila upande wa khanga
tena mapenzi sio ligi nikakubali kushindwa
mi sikufunzwa biradhi
ushindani risasi kwa panga
mbona nilikuthamini
mengi nikakusevia
sikusema hadharani
wengi wakayasikia
sasa umenipanda kichwani
hukumbuki tulipotokea
unaponishusha thamani
kipi nilichokosea
ingawa kidogo nilichopata
nikajinyima uridhike
ila hukujali ukanikatili moyo
majirani walinicheka
ulipoforce nipike
ah sio siri ilinivunja moyo
oh kisirani ugomvi bila chanjo
ni kweli upo moyoni
sina budi nilivue pendo
ingawa kishingo upande
aiyo aiyola ieh
sitoforce unipende
aiyo aiyola ieh
ooh kishingo upande mama
aiyo aiyola ieh
basi bora uendee
aiyo aiyola ieh
sitosema mapenzi basi
nimeumbwa nna moyo
moyo wenye matamanio
na unapenda pia
ila nitaijutia nafsi
nilikufanya chaguo
ah chaguo la moyo
kumbe ulipita njia
ah ah nilivowanyima ndugu
ni siri nikakutunzia
usijeleta vurugu
akili ukaitibua
najuta kujitia bubu
sitaki vya kusikia
kisa pendo unisulubu
mengi nishayafumbia
mbona nilikuthamini
mengi nikakusevia
sikusema hadharani
wengi wakayasikia
sasa umenipanda kichwani
hukumbuki tulipotokea
unaponishusha thamani
kipi nilichokosea
oh kisirani ugomvi bila chanjo
ni kweli upo moyoni
sina budi nilivue pendo
ingawa kishingo upande
aiyo aiyola ieh
sitoforce unipende
aiyo aiyola ieh
ooh kishingo upande mama
aiyo aiyola ieh
basi bora uendee
aiyo aiyola ieh
ingawa kishingo upande
aiyo aiyola ieh
aiyo aiyola ieh
ooh kishingo upande mama
aiyo aiyola ieh
basi bora uendee
aiyo aiyola ieh
kishingo upande x2
aaaaah
nakuombea lyrics samir - good_music_forever
Samir - Nakuombea
mmmmh samir
oooh ooh
mmmh
mahewa records
uuuh uuh
ooooooh
mmmh
penzi lako tunda
lenye rangi nzuri
ukimenya chungu
mi naponea mavumba
unanipa dawa
kaunda mzungu
nitazamapo jua linazama
ishara ya siku imekwisha
nazidi amini kuna kiama
ndio siku ya Mungu kunilipa yote
na namba zako
rafiki zako wananigomea
majibu yako
we okay hutaki kusumbuliwa
ila mi bado nakanda roho yangu
hayaa
nakuombea Mungu
usimwache mwenzangu
sawaa
(x2)
mmmh mmh
mimi bado mahututi
mgonjwa wa hali
nasali
najilinda madhubuti
niepuke na shari
niende mbali
mimi bado mahututi
mgonjwa wa hali
nasali
najilinda madhubuti
niepuke na shari
niende mbali
ni kama mama kuku
aligawa mtoto kwa mwewe
aponyeshe wengine
si kama ameridhia
ila we umekula yai
umeshindwa kuatamia
nisichothubutu na kamwe
useme nikakuroge kwa mganga
msimu ni wa jua
ukame
siwezi hata kupanda karanga
hapana
na namba zako
rafiki zako wananigomea
majibu yako
we okay hutaki kusumbuliwa
ila mi bado nakanda roho yangu
hayaa
nakuombea Mungu
usimwache mwenzangu
sawaa
(x2)
wanasema mi mboga
ulinitoweza
ningekua mtamu
ungekombeleza (sio mtamu)
wanasema wenzangu
wanakuweza
eti mimi nitoke
we umeteleza
(x2)
ila mi bado nakanda roho yangu
hayaa
nakuombea Mungu
usimwache mwenzangu
sawaa
(x2)
Monday, August 24, 2015
Diamond Platinum feat Flavour Nana lyrics-good_usic_forever
diamond platinum feat Mr Flavour - NANA
Intro.
oooh na na na
ooh nana nana
baby basi hujui tu mi kitandani ka schumacher
its diamond
ifunye memo
chorus
baby oh, oh na na na
baby oh, oh nana nana
baby oh, oh na na na
oh nana nana nana nana
baby oh, oh na na na
baby oh, oh nana nana
baby oh, oh na na na
oh nana nana nana nana
verse (Diamond platinum)
kwanza moti moti moti (sikia)
ah mwenzio nashtua kijoti (naumia)
moyo wangu ti ti ti (unakimbia)
ah uoga wa manoti noti noti (nahofia)
uuuuuh
so usije niacha ka nanii (oh nana)
ntaumia sana (oh nana)
mi honey (oh nana)
utaniumiza
na ntachekwa mitaani (oh nana)
ntalia mama (oh nana)
wengine tena sina ooh
chineke oh
Chorus
verse ( Mr Flavour)
I can't deny I cant deny your love
baby meeh afurunginanya
I no believe I no believe am oh
baby meeh ejizemunolu
lie lie I no go break your heart oh
I no go make you cry
I no go do you bad oh
always put a smile upon your face
chorus
varse (diamond platinum)
kama nguna ntakulaga
tukipata baga
tukikosa dagaa
njaa na tutalala nayo
mirungi kwa kusaga
mbege kwa wachaga
na mbuzi wa kutaga
habari wanayo
sa twende sankoro sankororo
sankoro sankororo
(Tanzania) sankoro sankororo
kama ronaldo
(Nigeria) sankoro sankororo
sankoro sankororo
sankoro sankororo
kama ronaldo
sa twende oh na na na
baby oh, oh nana nana
baby oh, oh na na na
oh nana nana nana nana
sankoro sankororo (oh na na na)
sankoro sankororo (oh nana nana)
sankoro sankororo (oh na na na)
oh nana nana nana nana
Subscribe to:
Posts (Atom)