Wednesday, August 1, 2018
Sunday, September 18, 2016
Monday, November 2, 2015
Sunday, November 1, 2015
Ufafanuzi toka bodi ya mikopo ya elimu ya juu HESLB
Tunapenda kufafanua kuwa taarifa zinazosambazwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa orodha ya majina ya waombaji wa Mikopo waliofanikiwa kwa mwaka wa masomo 2015/2016 imetoka sio za kweli. Kwa sasa, kazi ya uchambuzi wa maombi ya mikopo yaliyowasilishwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu bado inaendelea.
Mwisho.
http://www.heslb.go.tz/index.php/application-guidelines/187-taarifa-ya-ufafanuzi
Saturday, October 31, 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)