Sunday, November 1, 2015

Ufafanuzi toka bodi ya mikopo ya elimu ya juu HESLB

Tunapenda kufafanua kuwa taarifa zinazosambazwa katika baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa orodha ya majina ya waombaji wa Mikopo waliofanikiwa kwa mwaka wa masomo 2015/2016 imetoka sio za kweli. Kwa sasa, kazi ya uchambuzi wa maombi ya mikopo yaliyowasilishwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu bado inaendelea.

Mwisho.
Source heslb cheki link hii kwa ufafanuzi zaidi.
http://www.heslb.go.tz/index.php/application-guidelines/187-taarifa-ya-ufafanuzi

Sunday, October 18, 2015

WE ARCHITECT WE MODIFY THE WORLD


Anything which is in man’s mind, and which is good either personally or for the community, can be turned to the reality and can be useful. It’s just the matter of ambition and willingness that a person must have so as to make it be real; also it depends on the people you face in accomplishing what you have.”  These are the words said by Emmanuel Lunyali, an Architect from MUST (Mbeya University of Science and Technology)

We depend on each other in achieving our dreams, a client may have an Idea but don’t know how to make what he have into realistic so that Engineers can understand, so what to do is to communicate with an Architect telling what he have in mind, and an Architect will design, then the drawings of the design can be given to an Engineer in order to put Client Idea in reality. This is how we do.


Although sometimes an architect may have an Idea of which the client may like and buy it, the picture you see here is an example of it. I had an Idea of designing something, so I designed a “lodge” of five self contained rooms, five single rooms and a restaurant. In short I can design anything someone wants me to design. This is just one of my works.
If you want to contact Emmanuel Lunyali, here are his contacts

Instagram @lunyatheprodigy
Mobile       0718 541 041



Thursday, October 8, 2015

ingia hapa kujua umepangiwa chuo gani kwa mwaka 2015/2016 (tcu, cas 2015/2016)

Kuangalia umepangiwa chuo gani kwa urahisi kabisa, click link hii hapa chini, itakupeleka moja kwa moja kwenye selection zako.
http://cas.tcu.go.tz/users/login

Sunday, September 20, 2015

kwanini glass huweza kupasuka ikiwekewa maji ya moto (WHY DOES GLASS BREAK WHEN POURED WITH HOT WATER)

glass huweza kupasuka ikiwekewa kimiminika cha moto kwa sababu kuu moja, glass inapowekewa kitu cha moto, mabadiliko hayo ya jotoridi hupokelewa na upande wa ndani wa glass, joto hilo husababisha upande huo wa glass kutanuka, endapo upande wa nje wa glass utatanuka kwa uwiano wenye tofauti kubwa na ule wa ndani basi nyufa huweza kutokea kwenye glass hiyo, na hatimaye kupasuka kabisa.
Vivyo hivyo maji ya baridi sana huweza kupasua glass endapo mabadiliko ya jotoridi la ndani ya glass yatatofautiana na ya nje kwa uwiano mkubwa, yaani kusinyaa kwa glass upande wa ndani utatofautiana sana na upande wa nje.

NINI KIFANYIKE KUZUIA HI
1. Mimina maji au kimiminika chako taratibu ili kuifanya glass iendane na jotoridi la kiminika hicho, hii itasaidia kuepukana na tatizo la kupasuka kwa glass yako
2. Pia kwa kimiminika cha moto glass yaweza kupashwa moto kwa kuiweka sehemu yenye digrii 40-50 za jotoridi

UNAWEZA JIFUNZA KITU KINGINE PIA HAPO
Hata katika maisha ya kawaida ya binadamu, kupokea mabadiliko yoyote, ni lazima uwe umejiandaa kuyapokea, na mabadiliko yoyote yale kwa mtu yanaanzia kwake, yaani moyoni mwake, ukiwa tayari kubadilika wewe ndipo mtu mwingine anaweza kukuletea mabadiliko.
CHANGE NI WEWE.

Thursday, September 17, 2015

majina ya waliokosa vyuo (wanaotakiwa kuomba kwa mara nyingine 2015?2016)

Click link hii kuangalia majina ya wanaotakiwa kuomba kwa mara nyingine kujiunga na vyuo vikuu 2015/2016. Hii ni baada ya kukosa nafasi katika maombi yao ya kwanza.
 Kwa herufi kati ya A-H
http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group%20(A_H).pdf
  Kwa herufi kati ya I-L
http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group%20(I_L).pdf
 Kwa herufi kati ya M-N
http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group%20(M_N).pdf
 Kwa herufi kati ya O-Z
http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Gruop%20(O_Z).pdf

Sunday, September 13, 2015

wanafunzi wa shule ya sekondari Ngudu wafurahia huduma ya maji ya bomba


 
hali ilivyokua kabla ya huduma ya maji kusogezwa karibu 

Shule ya Ngudu iliyopo wilayani kwimba ni moja ya shule iliyokumbana na tatizo la ukosefu wa walimu, pamoja na wanafunzi wake kukosa vipindi kwa muda mrefu kwa tatizo la ukosefu wa maji.
Kwa mujibu wa mhandisi wa maji wa wilaya hiyo Boaz Pius http://www.worldbank.org watu walikua wakipata maji ya bomba kwa masaa matatu mpaka manne kwa siku na wakati mwingine kutopata kabisa, walikuwa wakitegemea maji ya visima sita vilivyochimbwa na waingereza miaka ya 1950.
lakini kwa sasa serikali kwa msaada wa world bank wameweza kuwaletea maji ya bomba eneo hilo.
huduma hiyo imesaidia kwani mwanzo hata watoto wa shule ya sekondari Ngudu na walimu walilazimika kukatisha vipindi kutokana na ukosefu huo wa maji laini kwa sasa hawapati usumbufu huo tena.
wananchi wa eneo hilo wameufurahia mradi huo ulioanza kwa idadi ya makazi yapatayo 700 kuunganishwa na huduma hiyo ya maji,
kupitia mradi wa kahama shinyanga water supply authority KASHYWASA.
 
HALI ILIVO SASA

Sunday, September 6, 2015

tambua jinsi ya kuyafanya maji machafu yawe safi na salama kwa matumizi ya nyumbani na hata kunywa

Kwa kutumia njia za kisayansi unaweza yafanya maji machafu yawe salama kwa matumizi yako nyumbani, kwa nchi ambazo wananchi wake wana tabu ya maji, au kuna tatizo la upatikanaji wa maji safi kama Tanzania. Unaweza tumia njia hii nyumbani kwako kupata maji safi.

 Image result for tatizo la maji afrika

 Yafuatayo ni maelekezo ya kuyafanya maji yako yawe safi na salama
1. Chukua kopo la maji ya kunywa, chenye ujazo wa lita moja na kuendelea
2. toboa matundu kadhaa kwenye kifuniko cha kopo
3.kata upande wa chini wa kopo, kuondoa kitako chake
4. andaa mchanga ulio safi, kokoto za saizi ndogo sana (kubwa kidogo kwa mchanga), karatasi laini (tissue), na mkaa kiasi cha gram 150 mpaka 250
4. funga kopo lako kwa kifuniko ulichokitoboa
5.weka kiasi kidogo cha tissue (karatasi laini) moja au mbili ndani ya kopo
6.weka mchanga ulio safi ndani ya kopo baada ya tissue
7. weka mkaa uwe wenye saizi ndogo (chenga)
8. weka kokoto zenye saizi kama ilivoelekezwa hapo juu
9. weka tena karatasi laini (tissue moja au mbili (ikae katika mtido wa kutengeneza shimo ili maji yachujwe kipindi yanaingia kwenye kopo
10. mimina taratibu maji yako ambayo ni machafu wakati ukiwa umekinga chombo cha kupokelea maji yalochujwa upande wa chini
11. maji yako sasa ni safi, sasa waweza tumia njia nyingine za kutibu naji ili yawe salama, kama kutumia chlorine, kuchemsha na nyinginezo zinazoshauriwa kitaalamu.
WAWEZA ANGALIA PIA VIDEO HII HAPA CHINI IKIONESHA HIZO HATUA


Saturday, September 5, 2015

mara nyingi mashabiki wa muziki huendana na tabia zao isome hapa

 mwaka 2008 utafiti uliofanywa kwa watu zaidi ya 36000 kutoka duniani kote ulihitimisha kuwa ladha ya muziki na aina ya maisha wanayoishi mashabiki wake vina uhusiano mkubwa.Utafiti ambao ulifanywa na Profesa Adrian kutoka chuo kikuu cha Heriot Watt Kaskazini, Edinburgh ulionesha kuwa
Mashabiki wa muziki "classic" walikua ni wenye aibu, wakati mashabiki wa muziki unaotumia vyombo vizito kama rock walikuwa ni wapole na wenye furaha. Mashabiki wa muziki wa kiindi si wenye kujithamini sana, na wasio na bidii, mashabiki wa muziki wa rap ni wenye kujithamini sana na wenye kwenda na wakati, mashsbiki wa muziki wa country na R&B ni wenye bidii,na wenye kwenda na wakati, mashabiki wa muziki wa muziki wa reggae ni wabunifu nawasio na bidii, mashabiki wa pop ni wenye kujithamini, si wabunifu lakini wenye bidii na wenye kwenda na wakati.

 2008, A study of more than 36,000 people from around the world concluded that musical tastes and personality type were closely related. The research, which was carried out by Professor Adrian North of Heriot Watt University, Edinburgh in the UK suggested classical music fans were shy, while heavy metal fans were gentle and at ease with themselves. Fans of Indie music had low self-esteem and were not hard working, fans of Rap music had high self-esteem and were outgoing. Country & Western fans were hardworking and outgoing, Reggae fans were creative but not hardworking, and fans of chart pop had high self-esteem, were not creative, but where hardworking and outgoing.

Thursday, September 3, 2015

mashairi ya wimbo nice couple kutoka kwa mayunga (nice couple lyrics by mayunga)

Mayunga - nice couple

intro

by show by show
by show oooh by show
by show by show
by show oooh baby by show

verse I
by show i love you baby
to the baby to the sir
aisee umepanda grade
na ni mzuri si utani
sikuachi waniue may be
nikukose maishani
penzi letu uzito wa tani
halipimwi kwa mizani eeh

bridge
aiya iya iyaaa
iyelele mama ooh iye iye
aiya iya iya iya (njoo tudance aah)
aiya iya iyaaa
iyelele mama ooh iye iye
aiya iya iya iya (ngororo tokobina ayaya)
chorus
mi na wewe nice couple (mi na wewe nice couple)
mi na wewe double double (njoo tudance hakuna kokoro)
mi na wewe nice couple (mi na wewe nice couple)
mi na wewe double double (ale tokobina hakuna kokoro)
ale nice nai eeh
nice hakuna kokoro
ale nice nai eeh
nice hakuna kokoro
ooh ooh aah
hakuna kokoro
Image result for mayunga
parare parare
 pararee parare

verse II

looking at my beatiful baby
she knows how to shake body
ukitaka cheza naye
lazima kwanza unione
tena ujue kucheza
parare parare
ujue kuzungusha
parare parare
aah to the left
parare parare
oh to the right
parare parare
ooh nananananaaa
oh nananannaaa
ukiwa nami jiamini
wasiwasi uwe pembeni
wanasema ya chinichini hawayaji ya ndani
wana wivu kama nini
tabia za kishitwani
wanasubiri gizani
sisi tuko nuruni

bridge

aiya iya iyaaa
iyelele mama ooh iye iye
aiya iya iya iya (ngororo njoo tudance aah)
aiya iya iyaaa
iyelele mama ooh iye iye
aiya iya iya iya (ngororo tokobina ayaya)
chorus
mi na wewe nice couple (mi na wewe nice couple)
mi na wewe double double (njoo tudance hakuna kokoro)
mi na wewe nice couple (mi na wewe nice couple)
mi na wewe double double (ale tokobina hakuna kokoro)
ale nice nai eeh
nice hakuna kokoro
ale nice nai eeh
nice hakuna kokoro
ooh ooh aah
hakuna kokoro

outro
parare parare
 parare parare
parare parare
 pararee parare
oooh nananananaa
oh nananaaaa














Saturday, August 29, 2015

bodi ya mikopo yatoa majina ya waliokosea katika maombi yao 2015/2016 angalia hapa

HESLB hereby calls upon loan applicants for academic year 2015/2016 whose applications have been found to have some faults to physically come to HESLB offices on Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road, Mwenge - Dar es Salaam for corrections of their loan applications.

Names of concerned applicants can be accessed by clinking the following link
 http://www.heslb.go.tz/images/images/INCOMPLETE_FORMS.pdf
The deadline for corrections of the shortcomings is 11th September 2015.

NB: The Board is cautioning loan applicants to be careful with some unscrupulous individuals who might take advantage of this opportunity to make financial demands.

For more information visit their page http://www.heslb.go.tz

Thursday, August 27, 2015

mashairi ya harmonize aiyola soma hapa (aiyola lyrics by harmonize)


Harmonize - Aiyola

wasafi
aiyo aiyola ieeh
aiyo aiyola aah
mmh
nilifundishwa na bibi kijijini jinsi ya kupenda
na mwanamke hapigwi
na ngumi ila upande wa khanga
tena mapenzi sio ligi nikakubali kushindwa
mi sikufunzwa biradhi
ushindani risasi kwa panga
mbona nilikuthamini
mengi nikakusevia
sikusema hadharani
wengi wakayasikia
sasa umenipanda kichwani
hukumbuki tulipotokea
unaponishusha thamani
kipi nilichokosea
ingawa kidogo nilichopata
nikajinyima uridhike
ila hukujali ukanikatili moyo
majirani walinicheka
ulipoforce nipike
ah sio siri ilinivunja moyo
oh kisirani ugomvi bila chanjo
ni kweli upo moyoni
sina budi nilivue pendo
ingawa kishingo upande

aiyo aiyola ieh
sitoforce unipende
aiyo aiyola ieh
ooh kishingo upande mama
aiyo aiyola ieh
basi bora uendee
aiyo aiyola ieh

sitosema mapenzi basi
nimeumbwa nna moyo
moyo wenye matamanio
na unapenda pia
ila nitaijutia nafsi
nilikufanya chaguo
ah chaguo la moyo
kumbe ulipita njia
ah  ah nilivowanyima ndugu
ni siri nikakutunzia
usijeleta vurugu
akili ukaitibua
najuta kujitia bubu
sitaki vya kusikia
kisa pendo unisulubu
mengi nishayafumbia
mbona nilikuthamini
mengi nikakusevia
sikusema hadharani
wengi wakayasikia
sasa umenipanda kichwani
hukumbuki tulipotokea
unaponishusha thamani
kipi nilichokosea
oh kisirani ugomvi bila chanjo
ni kweli upo moyoni
sina budi nilivue pendo
ingawa kishingo upande
aiyo aiyola ieh
sitoforce unipende
aiyo aiyola ieh
ooh kishingo upande mama
aiyo aiyola ieh
basi bora uendee
aiyo aiyola ieh

ingawa kishingo upande
aiyo aiyola ieh
sitoforce unipende
aiyo aiyola ieh
ooh kishingo upande mama
aiyo aiyola ieh
basi bora uendee
aiyo aiyola ieh
kishingo upande x2
aaaaah


Image result for harmonize aiyola






nakuombea lyrics samir - good_music_forever



Samir - Nakuombea

mmmmh samir
oooh ooh
mmmh
mahewa records
uuuh uuh
ooooooh
mmmh
penzi lako tunda
lenye rangi nzuri
ukimenya chungu
mi naponea mavumba
unanipa dawa
kaunda mzungu
nitazamapo jua linazama
ishara ya siku imekwisha
nazidi amini kuna kiama
ndio siku ya Mungu kunilipa yote
na namba zako
 rafiki zako wananigomea
majibu yako
we okay hutaki kusumbuliwa

ila mi bado nakanda roho yangu
hayaa
nakuombea Mungu
usimwache mwenzangu
sawaa
(x2)

mmmh mmh
mimi bado mahututi
 mgonjwa wa hali
nasali
najilinda madhubuti
niepuke na shari
niende mbali
mimi bado mahututi
 mgonjwa wa hali
nasali
najilinda madhubuti
niepuke na shari
niende mbali
ni kama mama kuku
aligawa mtoto kwa mwewe
aponyeshe wengine
si kama ameridhia
ila we umekula yai
umeshindwa kuatamia
nisichothubutu na kamwe
useme nikakuroge kwa mganga
msimu ni wa jua
ukame
siwezi hata kupanda karanga
hapana

na namba zako
 rafiki zako wananigomea
majibu yako
we okay hutaki kusumbuliwa

ila mi bado nakanda roho yangu
hayaa
nakuombea Mungu
usimwache mwenzangu
sawaa
(x2)

wanasema mi mboga
 ulinitoweza
ningekua mtamu
ungekombeleza (sio mtamu)
wanasema wenzangu
 wanakuweza
eti mimi nitoke
we umeteleza
(x2)

ila mi bado nakanda roho yangu
hayaa
nakuombea Mungu
usimwache mwenzangu
sawaa
(x2)







Monday, August 24, 2015

Diamond Platinum feat Flavour Nana lyrics-good_usic_forever



diamond platinum feat Mr Flavour - NANA
Intro.
oooh na na na
ooh nana nana
baby basi hujui tu mi kitandani ka schumacher
its diamond
ifunye memo

chorus
baby oh, oh na na na
baby oh, oh nana nana
baby oh, oh na na na
oh nana nana nana nana
baby oh, oh na na na
baby oh, oh nana nana
baby oh, oh na na na
oh nana nana nana nana

verse (Diamond platinum)
kwanza moti moti moti (sikia)
ah mwenzio nashtua kijoti (naumia)
moyo wangu ti ti ti  (unakimbia)
ah uoga wa manoti noti noti (nahofia)
uuuuuh
so usije niacha ka nanii (oh nana)
ntaumia sana (oh nana)
mi honey (oh nana)
 utaniumiza
na ntachekwa mitaani (oh nana)
 ntalia mama (oh nana)
wengine tena sina ooh
chineke oh

Chorus

verse ( Mr Flavour)
I can't deny I cant deny your love
baby meeh afurunginanya
I no believe I no believe am oh
baby meeh ejizemunolu
lie lie I no go break your heart oh
I no go make you cry
I no go do you bad oh
always put a smile upon your face

chorus

varse (diamond platinum)
kama nguna ntakulaga
tukipata baga
tukikosa dagaa
njaa na tutalala nayo
mirungi kwa kusaga
mbege kwa wachaga
na mbuzi wa kutaga
habari wanayo

sa twende sankoro sankororo
sankoro sankororo
(Tanzania) sankoro sankororo
kama ronaldo
(Nigeria) sankoro sankororo
sankoro sankororo
sankoro sankororo
kama ronaldo

sa twende oh na na na
baby oh, oh nana nana
baby oh, oh na na na
oh nana nana nana nana
sankoro sankororo (oh na na na)
sankoro sankororo (oh nana nana)
sankoro sankororo (oh na na na)
oh nana nana nana nana



Image result for nana diamond ft flavour